Uongozi wa timu ya Azam fc umeamua kuufanyia marekebisho makubwa uwanja wa Chamazi Complex ili kuendana na hadhi ya viwanja vikubwa duniani kama Alliance Arena wa Bayern Munich.
Akiongea na waandishi wa habari Mhandisi mkuu wa kampuni hiyo alisema kuwa marekebosho hayo ni matunda ya ziara yake aliyoifanya barani ulaya kutembelea viwanja vikubwa.