Home Soka Chan Yasogezwa Mbele

Chan Yasogezwa Mbele

by Sports Leo
0 comments

Fainali za kombe la mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) yaliyotakiwa kufanyika mwaka huu nchini Cameroon yamesogezwa mbele na sasa ni rasmi yatafanyika mwaka 2021 mwezi januari.

Tanzania ni kati ya timu zilizofuzu michuano hii baada ya kumtoa jirani yake Kenya pamoja na Sudan huku Uganda na Rwanda nazo zimefuzu kwa upande wa timu kutoka Afrika Mashariki.

Hii ni mara ya pili kwa Caf kughairisha michuano hiyo ambapo ilihamishwa kutoka nchini Ethiopia kwenda Cameroon na ilipangwa kuanza mapema mwaka huu ambapo pia ilighairishwa mpaka April 25 ambapo sasa imehamishiwa January mwakani.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited