Cameroon Yafuzu Robo Fainali Afcon
Katika mchezo wa kufuzu robo fainali wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025/26, timu ya taifa ya Cameroon imewaachia kipigo mabingwa wa Afrika Kusini Bafana Bafana kwa ushindi wa goli 2-1 kwenye pambano lililochezwa katika Stade Al Medina jijini Rabat, Morocco, Jumapili usiku. Ushindi huu umewawezesha Cameroon kufuzu robo fainali na kujiweka mbele ya…
