Home Soka Goli la Miqquisone Balaa Caf

Goli la Miqquisone Balaa Caf

by Sports Leo
0 comments

Shirikisho la soka barani Afrika (Caf) imelichagua Goli la kiungo mshambuliaji wa Klabu ya Simba,Luis Miquissone kama goli bora la Wiki la Ligi ya Mabingwa Afrika.
Goli hilo la Luis Miquissone alilifunga katika mechi dhidi ya miamba ya soka barani Africa Al Ahly kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Februari 23.
Goli hilo pekee liliwapa ushindi mabingwa hao Vodacom Premier league na kufanikiwa kuongoza kundi A wakiwa na jumla ya alama 6.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited