Home Soka Juuko Murshid Kutimkia Bondeni

Juuko Murshid Kutimkia Bondeni

by Sports Leo
0 comments

Beki wa zamani wa klabu ya Simba sc anayeichezea Express Fc ya nchini Uganda Juuko Murshid  ataenda kufanya majaribio kunako klabu ya Maritzburg United Afrika Kusini.

Klabu yake ya Express FC nchini Uganda imethibitisha kuwa beki huyo mkongwe ambaye amekataa wito wa kushiriki michuano ya kimataifa kwa wachezaji wa ndani (CHAN) ndani ya kikosi cha Uganda ili acheze Afrika Kusini.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited