Home Soka Kenya Yaiua Djibout

Kenya Yaiua Djibout

by Sports Leo
0 comments

Timu ya taifa ya Kenya ya Wanawake imeibuka na ushindi wan magoli 12-0 dhidi ya timu ya taifa ya wanawake ya Djibout katika mchezo wa mashindani ya Cecafa chalenji ya wanawake uliofanyika katika uwanja wa chamazi jijini Dar es salaam.

Kenya imeungana na Tanzania kufuzu nusu fainali ya michuano hiyo huku Djibout ikivunja rekodi baada ya kuruhusu kufungwa mabao 25 katika mechi mbili.

Mchezaji Jentrix shikangwa alifunga mabao manne huku Merci Airo na Mwanalima Jereko wakifunga matatu kila mmoja na Vivian Makokha na Janeth Bundu akifunga moja.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited