Home Soka Kibabage Bado Kidogo Simba sc

Kibabage Bado Kidogo Simba sc

by Sports Leo
0 comments

Beki wa Difaa El Jadidi Mtanzania Nickson Kibabage tayari yupo nchini Tanzania na inaelezwa kuwa Klabu ya Simba ina mpango wa kumsajili beki huyo anayecheza mbavu ya kushoto kuwa msaidizi wa Mohamed Hussein’
Iwapo Simba sc watamkosa beki huyo ambaye hivi sasa anayecheza kwa mkopo katika klabu ya Youssofia Berrechid ya Morocco mwisho wa msimu huu basi itaangalia uwezekano wa kumsajili beki wa kushoto wa KMC, Brayson David.

 

Tayari klabu hiyo ipo mbioni kuachana na Gadiel Michael baada ya kushindwa kuonyesha kiwango kumpa changamoto Mohamed Hussein.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited