Aliyekuwa Mkurugenzi wa ufundi wa zamani wa Shirikisho la Soka Tanzania “TFF” na kocha wa zamani wa timu za Taifa ya Tanzania(taifastars)_ Ammy Ninje, Yupo katika hatua za mwisho kuinunua Klabu ya daraja la kwanza, @mbaofc ya jijini Mwanza.
Ammy Ninje kwasasa anaishi Uingereza amesema tayari karibu kila kitu kimekamilika na hivi karibuni atakuja hapa nchini kuja kamilisha kusaini nyaraka.