Home Soka Lamine,Feitoto Out Mapinduzi Cup

Lamine,Feitoto Out Mapinduzi Cup

by Sports Leo
0 comments

Mastaa wa klabu ya Yanga sc wataikosa michuano ya kombe la mapinduzi kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kukabiliwa na michuano ya kimataifa pamoja na matatizo ya kifamilia.

Nahodha Lamine Moro yeye amepewa ruhusa kwenda kuonana na familia yake baada ya kutosafiri kwa muda mrefu sababu ya mipaka ya kimataifa kufungwa hivyo uongozi umeona ni wakati muafaka kujumuika na familia yake nchini Ghana.

Mastaa Deus Kaseke,Feisal Salum,Ditram Nchimbi,Farid Musa,Bakari Mwamnyeto na Yassin Mustapha wanakabiliwa na mechi za kirafiki za kimataifa wakiwa na kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania hivyo wataikosa michuano hiyo ama watajiunga wakiwa wamechelewa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited