Home Soka Luc Eymael Majanga Tupu

Luc Eymael Majanga Tupu

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Chippa United imebadili mawazo juu ya ajira ya kocha Luc Eymael baada ya shirikisho la soka nchini humo (SAFA) Kuwatarifu kuwa Luc hana ruhusa ya kupewa leseni ya kazi nchini humo kutokana na adhabu aliyyopewa akiwa Tanzania.

Awal mwishoni mwa ligi kuu Tanzania bara msimu uliopita kocha Luc Eymael aliwatukana mashabiki wa Yanga sc wakati akiifundisha timu hiyo akitumia maneno ya lugha ya kibaguzi na kusababisha kutimuliwa nchini huku Tff ikimpa adhabu ambayo mpaka anaondoka hakuilipa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited