Home Soka Man Utd Wachapwa Tena

Man Utd Wachapwa Tena

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Manchester United imeendelea kuwa na matokeo ya kusuasua baada ya jana kukubali kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya  Instabull BB katika mchezo wa kundi H katika michuano ya klabu bingwa barani ulaya.

Man utd iliruhusu mabao mawili kipindi cha kwanza kupitia kwa Demba Ba  12′ na Visca 40′ ambapo licha Anthony Martial kujitahidi kufunga bao mwanzoni mwa kipindi cha pili lakini mpaka filimbi ya mwisho matokeo yalibaki 2-1.

Hii ni mechi ya pili mfululizo kwa mkufunzi Olle Gunnar Solskjaer kupoteza na kuendelea kuiweka rehani nafasi yake kikosini hapo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited