Home Soka Man Utd Yakomaa na Top Four

Man Utd Yakomaa na Top Four

by Sports Leo
0 comments

Timu ya Manchster United imeendelea kukomalia nafasi nne za juu baada ya jana kuifunga timu ya Brightons mabao 3-0 huku Bruno Fernandes akiendelea kuonyesha kiwango kizuri baada ya kufunga mabao mawili.

Bruno alifunga mabao hayo dakika za 29 na 50 huku kinda Mason Greenwod akitangulia dakika ya 16 mabao yaliyodumu mpaka mwisho wa mchezo.

Ushindi huo unaifanya Man utd kuikaribia Top Four baada ya kufikisha pointi 52 nyuma ya Chelsea wenye pointi 54 huku wakiwa na mchezo mmoja mkononi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited