Home Soka Man Utd Yapigwa na Arsenal

Man Utd Yapigwa na Arsenal

by Sports Leo
0 comments

Licha ya kuwa ugenini klabu ya Arsenal imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Manchester united katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa katika uwanja wa Old Trafford jijini Manchester.

Pierre Aubemayang aliifungia Arsenal bao dakika ya 69 ambalo lilidumu mpaka mwisho wa mchezo na kuifanya klabu yake kusogea mpaka nafasi ya tisa katika msimamo wa ligi kuu nchini humo.

Man utd imeshuka mpaka nafasi ya baada ya kupoteza mchezo huo muhimu huku ikiachwa alama tisa na vinara wa ligi Liverpool Fc.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited