Home Soka Mastaa Kibao Majeruhi Simba

Mastaa Kibao Majeruhi Simba

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Simba imebainisha kuwa wachezaji wake wanne wa kikosi cha kwanza wanasumbuliwa na majeraha mbalimbali kipindi hiki.

Wachezaji hao ni mabeki Erasto Nyoni aliyeumia mguu katika mechi dhidi ya Namungo,Deo Kanda aliyeumia katika mechi dhidi ya Yanga huku Miraji Athumani na Mzamiru Yassin nao ikiwa wanasumbuliwa na majeraha.

Pia klabu hiyo imebainisha kwamba Shomari Kapombe na Rashidi Juma wao wanaumwa magonjwa ya kawaida na watarejea mechi ijayo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited