Home Soka Mayanga Abeba Tuzo Februari

Mayanga Abeba Tuzo Februari

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji wa timu ya Ndanda SC ya Mtwara, Vitalis Mayanga amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Februari wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania (VPL) msimu wa 2019/2020.

Mayanga amewashinda Reliants Lusajo na Blaize Bigirimana wote wa Namungo alioingia nao fainali.Ushindi wa Mshambuliaji huyo umetokana na mchango mkubwa alioipa timu yake kwa mwezi huo.

Pia kocha  mkuu wa mabingwa wa Tetezi wa ligi kuu bara ametwaa pia tuzo ya kocha bora wa mwezi Februari wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania (VPL) msimu wa 2019/2020, Vandenbroeck amewashinda Hatimana Thiery wa Namungo na Abdul Mingange wa Ndanda alioingia nao fainali.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited