Home Soka Mgunda Afungukia Watanzania

Mgunda Afungukia Watanzania

by Sports Leo
0 comments

Kocha Msaidizi wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Juma Mgunda, amewataka Watanzania kutokata tamaa na timu yao na badala yake kuendelea kuisapoti hasa wakati wa michezo ya kimataifa.

Kauli ya Mgunda imekuja ikiwa ni siku chache baada ya kikosi hicho kurejea jijini Dar kikitokea Cameroon kwenye michuano ya CHAN ambapo timu hiyo ilishia hatua ya makundi.

“Watanzania wawe na subira, ipo siku tutafanya vizuri. Kikubwa waendelee kutupa sapoti”

banner

Cc:Kibezedon

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited