Home Soka Mshahara Kikwazo Makambo Yanga

Mshahara Kikwazo Makambo Yanga

by Sports Leo
0 comments

Imeripotiwa kwamba kiasi cha mshahara anaolipwa straika Heritier Makambo na klabu ya Horoya ndio kikwazo kikuu cha kumrudisha katika klabu ya Yanga sc.

Makambo aliuzwa na Yanga kwenda Horoya ya nchini Guinnea kwa mkataba wa miaka mitatu inaelezwa yuko tayari kurudi mitaa ya Jangwani endapo timu hiyo itamhakikishia mshahara mnono kama anaolipwa na klabu hiyo.

Kwa mujibu wa kocha Mwinyi Zahera ambaye alimleta Makambo nchini amesema ni ngumu staa huyo kurejea kutokana na maslahi anayolipwa huko ambapo kwa Yanga ni ngumu kuyapata.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited