Home Soka Mwamnyeto Bado Siku Tu Yanga

Mwamnyeto Bado Siku Tu Yanga

by Sports Leo
0 comments

Kwa mujibu wa bosi anayeshughulikia masuala ya usajili ndani ya klabu ya Yanga Eng.Hersi Said bado siku kadhaa tu watamtambulisha beki kisiki kutoka klabu ya Coastal Union Bakari Nondo Mwamnyeto katika klabu hiyo yenye makao makuu Jangwani Kariakoo.

Bosi huyo wa Gsm kampuni inayojitolea kuihamisha Yanga kwenda mfumo wa mabadiliko alisema hayo leo wakati akifanya mahojiano na kitua cha Wasafi Fm ambapo aliulizwa swali na mwandishi na ndipo alipofunguka kuhusu suala hilo.

“Nikuhakikishie hatujawahi kushindwa lakini kwa sasa Mwamnyeto sio mchezaji wa Yanga wala Simba ila kuna siku utamtambulisha hapa”.

banner

Klabu hiyo imekua ikihusihwa na usajili wa beki huyo aliyejihakikishia namba katika klabu yake mpaka timu ya Taifa ya Tanzania.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited