Home Soka Ndayiragije aachishwa kibarua Geita Gold Fc

Ndayiragije aachishwa kibarua Geita Gold Fc

by Sports Leo
0 comments

Baada ya kuanza ligi kwa kusuasua uongozi wa klabu ya Geita Gold Fc umefikia makubaliano ya pande zote mbili kusitisha mkataba na kocha wake mkuu Mrundi Etiene Ndayiragije hii leo.

Geita Gold haijaonja radha ya ushindi tangu ipande ligi kuu soka ya NBC msimu huu,wakipata alama mbili katika michezo minne ya ligi kuu.

Taarifa rasmi ya klabu imetolewa kupitia ukurasa rasmi wa instagram wa timu hiyo ukieleza kuwa timu hiyo sasa itakuwa chini ya kocha msaidizi Fred Minziro kwa muda mpaka watakapopata kocha mkuu mpya.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited