Home Soka Prisons Yawazuia Nchimbi,Feisal

Prisons Yawazuia Nchimbi,Feisal

by Sports Leo
0 comments

Nyota wawili wa Yanga Ditram Nchimbi na Feisal Salum wanatarajiwa kuelekea nchini Misri kufanya majariboio kunako klabu ya Smouha inayoshiriki ligi kuu ya nchini humo

Nyota hao huenda wakaondoka Januari 27 baada ya mchezo wa raundi ya nne michuano ya kombe la Azam kati ya Yanga dhidi ya Prisons ambao utapigwa kesho kwenye uwanja wa Taifa

Inaelezwa kocha mkuu wa Yanga Luc Eymael ndiye aliyezuia kuondoka kwa wachezaji hao mapema licha ya kuwa taratibu zao za safari zilikuwa zimekamilishwa

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited