Home Soka Senzo Aongeza Majembe Mawili

Senzo Aongeza Majembe Mawili

by Sports Leo
0 comments

Mtendaji mkuu wa klabu ya Simba Senzo Mazingisa amewateua Rispa Hatibu kuwa kuwa msaidizi wake huku pia akimteua kuwa mkurugenzi wa wanachama na mashabiki uteuzi ambao umeanza rasmi leo novemba mosi.

Senzo alikua hana msaidizi tangu alipoteuliwa na klabu hiyo mwezi septemba akitokea nchin Afrika kusini alipokua akifanya kazi mbalimbali za michezo hasa katika klabu za soka nchini humo kama Orland pirates na Platnum stars.

Taarifa kutoka klabuni hapo imeonyesha kuwakaribisha wakurugenzi hao wapya.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited