Home Soka Sibomana Aikoa Yanga

Sibomana Aikoa Yanga

by Sports Leo
0 comments

Staa wa kinyarwanda Patrick Sibomana ameibuka shujaa baada ya kuokoa klabu ya Yanga na kuihakikishia kuomdoka na pointi tau katika mchezo wa ligi kuu uliofanyika katika uwanja wa Nangwanda sijaona mjini Mtwara dhidi ya Ndanda fc.

Yanga ilifanikiwa kupata bao hilo kwa njia ya adhabu baada ya beki wa ndanda kuunawa mpira wakati akipambana na Mrisho Ngassa aliyekua akielekea katika eneo la kumi na nane la timu hiyo.

Yanga kwa ushindi huo wamefikisha jumla ya pointi 10 baaada ya kucheza michezo mitano huku Simba wakiongoza ligi kwa point 22 baada ya kucheza michezo nane.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited