Home Soka Simba bingwa kombe la FA 2020/2021

Simba bingwa kombe la FA 2020/2021

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya soka ya Simba imefanikiwa kuutwaa ubingwa wa kombe la shirikisho baada ya kumfunga mtani wake wam jadi Yanga soka kwa goli 1-0.

Simba ilijipatia bao lake pekee la ushindi katika dakika ya 82 kupitia kwa Tadeo Lwanga aliyeunganisha krosi ya kona kutoka kwa Luis Miquissone na kumshinda mlinda mlango wa Yanga Farouk Shikalo.Katika mchezo huo kiundo wa Yanga Mukoko Tonombe alitolewa kwa kadi nyekundu baada ya kumpiga kiwiko John Bocco.

Huu ni ubingwa wa pili mfululizo wa Simba katika michuano baada ya ule wa mwaka jana wakiifunga Namungo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited