Home Soka Simba Sc Waichapa Chipukizi

Simba Sc Waichapa Chipukizi

by Dennis Msotwa
0 comments

Klabu ya Simba imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya timu ya Chipukizi Fc katika mchezo wa kombe la mapinduzi uliofanyika katika uwanja wa Amani visiwani Zanzibar.

Wenyeji walikua wa kwanza kupata bao dakika ya 36 lakini mabao mawili ya Miraji Athumani dakika za 52 na 82 huku Meddie Kagere akifunga bao la kusawazisha dakika ya 44.

Simba sc itakutana na Mtibwa Sugar katika mchezo mwingine jumamosi ya tarehe 9 mchezo unaotarajiwa kuwa wa ushindani mkali.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited