Home Soka Simba Wachezea Kichapo

Simba Wachezea Kichapo

by Sports Leo
0 comments

Timu ya Simba imepoteza mchezo wa ligi kuu dhidi ya Mwadui Fc uliomalizika jioni hii kwa goli 1-0 katika mchezo uliofanyika katika uwanja wa Kambarage jijini Shinyanga.

Mwadui ilipata bao pekee la mchezo huo dakika ya 32 ya mchezo likifungwa kwa kichwa baada ya kupokea krosi kutoka upande wa kushoto na kumkuta mfungaji Gerrad Mathias aliyekua amekabwa na mabeki wawili wa Simba lakini alipiga kichwa kilichomshinda kipa Aishi Manula.

Simba imebakiwa na pointi 18 ikicheza michezo saba ya ligi kuu huku ikiendelea kubaki kileleni licha ya kupoteza mchezo huo

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited