Winga wa zamani wa klabu ya Simba Ramadhani Singano “Messi”amejiunga na klabu ya Tp Mazembe ya nchini Kongo baada ya kumaliza mkataba na Timu ya Azam fc.
Singano alijiunga na Azam fc akitokea Simba sc baada ya kuwa na mgogoro wa kimkataba na klabu hiyo hali iliyowalazimu shirikisho la soka (Tff) kuingilia kati na kuamua mgogoro huo kwa mchezaji kuwa huru.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.
Pia winga huyo alishafanya majaribio katika klabu ya Diffaa El-Jadid ya nchini Moroko miaka miwili iliyopita japo walishindwana vipengele vya mkataba na maslahi.