Home Soka Singano Atua Tp Mazembe

Singano Atua Tp Mazembe

by Sports Leo
0 comments

Winga wa zamani wa klabu ya Simba Ramadhani Singano “Messi”amejiunga na klabu ya Tp Mazembe ya nchini Kongo baada ya kumaliza mkataba na Timu ya Azam fc.

Singano alijiunga na Azam fc akitokea Simba sc baada ya kuwa na mgogoro wa kimkataba na klabu hiyo hali iliyowalazimu shirikisho la soka (Tff) kuingilia kati na kuamua mgogoro huo kwa mchezaji kuwa huru.

banner

Pia winga huyo alishafanya majaribio katika klabu ya Diffaa El-Jadid ya nchini Moroko miaka miwili iliyopita japo walishindwana vipengele vya mkataba na maslahi.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited