Home Soka Tanzania Yafuzu Afcon ya Ufukweni

Tanzania Yafuzu Afcon ya Ufukweni

by Sports Leo
0 comments

Timu ya Taifa ya Tanzania ya soka la Ufukweni imefuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) baada ya ushindi wa jumla wa mabao 12-9 dhidi ya Burundi katika michezo yote iliyochezwa katika fukwe za Coco Dar es salaam.

Licha ya leo Tanzania kufungwa mabao 6-4 katika mchezo wa marudiano lakini ushindi wa mabao 8-3 katika mchezo wa kwanza umewabeba Tanzania.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited