Home Soka Tshitshimbi,Gsm Kimeeleweka

Tshitshimbi,Gsm Kimeeleweka

by Dennis Msotwa
0 comments

Habari za ndani ya klabu ya Yanga zinadai kuwa klabu hiyo imefikia makubaliano ya mkataba wa miaka miwili na nahodha wa klabu hiyo Papy Kabamba Tshitshimbi kuendelea kukichezea klabu hiyo.

Inaelezwa mkataba wa kiungo huyo atavuna mshahara wa shilingi za kitanzania milioni nane huku dau la usajili likidaiwa kuwa ni milioni 100 za kitanzania kwa muda huo wa miaka miwili ambazo zitalipwa kwa awamu.

Mkataba wa Tshitshimbi na klabu hiyo umebakiza miezi minne uweze kufika tamati na tayari alikua akinyemelewa na Simba sc pamoja na Azam Fc huku klabu ya Tp Mazembe nayo ikitajwa kumhitaji kiungo huyo mwenye mapafu ya Mbwa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited