Home Soka Ulimwengu Aikana Yanga

Ulimwengu Aikana Yanga

by Sports Leo
0 comments

Mchezaji wa zamani wa Tp Mazembe na mshindi mara  moja wa kombe la klabu bingwa barani Afrika Thomas Ulimwengu amekanusha taarifa za yeye kujiunga na mabingwa wa kihistoria wa ligi kuu nchini Yanga sc.

Mchezaji huyo mwenye nguvu na kasi amekanusha taarifa hizo kupitia mtandao wa kijamii ambapo aliandika “Nimesikia tetesi za nikihusishwa kujiunga na timu moja ya Tanzania,Hizo taarifa sio za kweli” aliandika Ulimwengu.

Ulimwengu hivi karibuni inadaiwa amechana na timu yake ya Js Soura ya nchini Algeria baada ya kukubaliana kuvunja mkataba.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited