Home Soka Yanga Kuivaa Kagera Sugar

Yanga Kuivaa Kagera Sugar

by Dennis Msotwa
0 comments

Yanga itajitupa uwanjani kutetea nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa kwa kuivaa Kagera Sugar katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam katika michuano ya kombe la Shirikisho.

Yanga sc inahitaji kushinda mchezo huo ili kujiweka katika mazingira mazuri ya kunyakua taji hilo lenye tikeki ya kushiriki michuano ya kimataifa baada ya kushindwa kuipata nafasi hiyo kupitia ligi kuu ambapo Simba sc imetwaa nafasi hiyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited