Yanga itajitupa uwanjani kutetea nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa kwa kuivaa Kagera Sugar katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam katika michuano ya kombe la Shirikisho.
Yanga sc inahitaji kushinda mchezo huo ili kujiweka katika mazingira mazuri ya kunyakua taji hilo lenye tikeki ya kushiriki michuano ya kimataifa baada ya kushindwa kuipata nafasi hiyo kupitia ligi kuu ambapo Simba sc imetwaa nafasi hiyo.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.