Home Soka Yanga sc Kuleta Straika Mpya

Yanga sc Kuleta Straika Mpya

by Dennis Msotwa
0 comments

Klabua ya Yanga sc ipo mbioni kuongeza mshambuliaji mwingine ili kusaidia kazi ya ufungaji mabao kikosini humo kufuatia kutofunga magoli ya kutosha.

Yanga sc imetoa sare mechi tatu mfululizo za ligi kuu msimu huu huku kesho ikiwa na kibarua cha kuivaa Azam Fc katika mchezo wa ligi kuu huku ikiwa imekusanya alama tatu katika michezo mitatu ukiwemo wa Gwambina Fc,Simba sc na Namungo Fc.

Kocha Cedrik Kaze amesisitiza kuhusu umuhimu wa kuongeza mshambuliaji mpya kikosini humo huku akisita kusema nani na nani wataondoka kikosini humo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited