Home Soka Yanga sc Yatangaza Mkutano Mkuu

Yanga sc Yatangaza Mkutano Mkuu

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Yanga sc imetangaza tarehe 27 mwezi wa sita kuwa itafanya mkutano mkuu wa wanachama wa klabu hiyo baada ya kutofanyika takribani miaka mitatu.

Taarifa iliyotolewa na Idara ya habari ya klabu hiyo imesema kwamba mkutano huo mkuu utafanyika tarehe tajwa huku ikiwaomba wanachama wa klabu hiyo kulipia mapema kadi zao za uanachama ili wapate nafasi ya kuhudhuria mkutano huo mkubwa.

Wadau wengi wa soka nchini hasa wanachama wa kklabu hiyo wanategemea mkutano huo utapitisha ajenda ya mabadiliko ambapo klabu hiyo itabadili umiliki kutoka ule wa wananchama na kwenda kwenye uwekezaji ambapo kutakua na muwekezaji atakayemiliki asilimia kadhaa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited