Home Soka Zahera Awindwa Namungo,Kmc

Zahera Awindwa Namungo,Kmc

by Sports Leo
0 comments

Klabu za Namungo na Kmc zinawinda saini ya aliyekua kocha wa zamani wa klabu ya Yanga sc Mwinyi Zahera ili kuzinoa kwa msimu ujao wa ligi kuu Tanzania bara.

Zahera ambaye toka atimuliwe na Yanga sc amekua hana timu ya kufundisha japo muda mwingi amekua akiishi hapa nchini licha ya kuendelea na kibarua chake cha ukocha msaidizi timu ya taifa ya Drc Kongo.

Namungo inatarajia kumkosa kocha wake Hitimana Thierry ambaye anaelekea kujiunga na klabu ya Yanga huku Kmc inatafuta kocha mpya ili kujipanga zaidi baada ya kuwa na matokeo yasiyiridhisha tangu aondoka kocha Jackson Mayanja ambaye nafasi yake ilizibwa na Haruna Hererimana.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited