Bosi wa klabu ya Simba sc Mohamed Dewji ameamua kuwakabidhi faili zima la usajili wa mastaa klabuni hapo kwa gwiji Crescentius Magori pamoja na Mulamu Ng’ambi ili kurejesha furaha kwa …
mo dewji
-
-
Bosi wa klabu ya Simba sc Mohamed Dewji amemteua Crescentius Magori kuwa mshauri wake mkuu baada ya kuridhishwa na kazi yake aliyoifanya kwa mara ya kwanza tangu ameteue katika cheo …
-
Uongozi wa Simba Sc umemtangaza mtendaji mkuu mpya wa klabu yao(CEO), Barbara Gonzalez ambaye atakuwa mrithi katika kiti cha Senzo Mbatha ambaye alijiuzulu na kuibukia Yanga Sc. Mkurugenzi wa bodi …
-
Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi Simba Sc,Mohammed Dewji ‘Mo Dewji’ ameamua kuziweka hisia zake wazi kuhusu beki mkongwe wa klabu hiyo Pascal Wawa kutokana na ubora wa kiwango chake ndani …
-
Uongozi wa klabu ya Simba umeahirisha ugawaji wa tuzo za Mo kama walivyofanya misimu miwili iliyopita kutokana na muda kutokuwa rafiki kwao. Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi Simba Sc, Mohamed …
-
Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa Simba Sc,Mohammed Dewji ambaye pia ni mwekezaji wa simba amewaambia wekundu hao wa msimbazi wajipange kwa ajili ya kombe la shirikisho la Azam (ASFC) …
-
Mwenyekiti Bodi ya wakurugenzi ya klabu ya Simba Mwekezaji wa Klabu hiyo Mohamed Dewji pamoja na viongozi wa Klabu ya Simba wamefanya kufuru Baada ya kuahidi donge nono ili kuifunga …
-
Bilionea wa klabu ya Simba sc Mohamed Dewji amewataka wanasimba kuwa watulivu hasa katika kipindi hiki cha usajili kwani watasajili mchezaji yeyote wanayemtaka. Mo amesema hayo kupitia mtandao wake wa …
-
Bilionea wa Simba Sc, Mohammed Dewji ‘Mo’ ameanza kutoa maneno kwa matajiri wa Yanga na kampuni ya GSM iliyomtengea mamilioni kiungo wake Hassan Dilunga ili kuhakikisha anatua Jangwani. GSM hivi …
-
Mfanya biashara Mohammed Dewji maarufu ksma Mo,ametajwa tena na Ripoti mpya ya jarida la Forbes kuwa ni mfanya biashara Tajiri mdogo kuliko wote Afrika kwa mwaka wa sita mfululizo akikadiriwa kuwa …