Wachezaji wa Al Nassr ya Saudia,Mtanzania Clara Luvanga wa timu ya wanawake amekutana ana kwa ana na mshambuliaji wa klabu hiyo kwa upande wa wanaume Cristiano Ronaldo na kufanikiwa kupiga …
ronaldo
-
-
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno na klabu ya Al Nassr Cristiano Ronaldo ameiambia klabu yake kuwa kabla hajaenda kujiunga na timu yake ya taifa anataka kuongeza mkataba mpya mpaka mwaka …
-
Cristiano Ronaldo alivaana na Lionel Messi,Neymar na Mbappe katika mchezo wa kirafiki baina ya Psg dhidi ya kombaini ya timu za Al Hilal na Al Nassr uliofanyika katika umoja wa …
-
Staa wa zamani wa klabu ya Real Madrid na Manchester United Cristiano Ronaldo ametambulishwa rasmi kama mchezaji mpya wa klabu ya Al-Nassr inayoshiriki ligi kuu nchini Saudi Arabia baada ya …
-
Ikicheza bila mshambuliaji bora Duniani Cristiano Ronaldo timu ya Taifa ya Ureno imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 6-1 dhidi ya Uswisi katika mchezo wa hatua ya mtoani ya 16 …
-
Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo amechangia kiasi kikubwa kwa ghana kupoteza mchezo wa kwanza katika fainali za kombe la dunia zinazoendelea nchini Qatar akiisaidia Ureno kuibuka …
-
Staa wa klabu ya Manchester United Cristiano Ronaldo amefunguka mambo mazito wakati akizungumza na mwandishi wa habari Piers Morgan ambapo alifunguka kwa umdani kuhusu maisha yake ndani ya klabu hiyo …
-
Staa wa Manchester United, Cristiano Ronaldo ametangaza kufiwa na mtoto wake wa kiume jioni ya leo Jumatatu Aprili 18, 2022 huku klabu yake ikielekea kumenyana na Liverpool mchezo wa ligi …
-
Christian Ronaldo afikisha mabao 101 ya kitaifa na kuweka rekodi mpya ya mwanasoka wa kwanza bara la Ulaya,akiwa katika timu ya taifa ya Ureno. Rekodi hii inafikishwa kwa mabao 2-o …
-
Ligi kuu nchini Hispania(La liga) inatarajiwa kurejea rasmi mwezi ujao kwa mujibu wa Rais wa ligi hiyo Javier Tebas huku msimu ujao ukitarajiwa kuanza Septemba 12. Bosi huyo pia alibainisha …