Alexander Isak Akubali Mazungumzo na Al-Hilal - sportsleo.co.tz

Alexander Isak Aanza Mazungumzo na Al-Hilal

Kichwa cha habari kinachoendelea kuchukua nafasi kubwa ni mustakabali wa mshambuliaji mahiri wa Newcastle United, Alexander Isak aanza mazungumzo na Al-Hilal. Taarifa za hivi pivi zinaonyesha kuwa vigogo wa Ligi Kuu ya Saudi Pro, Al-Hilal, wameingia rasmi kwenye mbio za kumnasa nyota huyo raia wa Sweden, huku kukiwa na ishara kwamba Alexander Isak aanza mazungumzo…

Soma Zaidi
Usajili Manchester United 2025 Wanakwama Wapi ? - sportsleo.co.tz

Usajili Manchester United 2025 Wanakwama Wapi ? Liverpool, Arsenal na Chelsea Wajipanga Kikaidi

Kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu England, vilabu vikubwa vimekuwa vikifanya biashara kubwa sokoni umewahi kujiuliza Usajili Manchester United wamejipanga vipi? Wakati timu kama Liverpool, Arsenal, na Chelsea zikionekana kujipanga vyema na kuwa tayari kwa changamoto za msimu ujao, kuna swali kubwa linaloibuka kwa mashabiki na wachambuzi: Usajili Manchester United Wanakwama Wapi? Soko la uhamisho…

Soma Zaidi
tetesi za usajili ulaya 2025 - sportsleo.co.tz

Tetesi za Usajili Barani Ulaya 2025

Mwezi Julai umekuwa na matukio mengi ya kusisimua tangu kufunguliwa kwa dirisha hili la usajili, tetesi za usajili barani ulaya 2025 zinapamba moto kila siku zinaibuka taarifa mpya zinazohusu wachezaji maarufu na vilabu vikubwa. Zikichochea mjadala na matumaini miongoni mwa mashabiki. Tumeona baadhi ya vilabu vikiweka ofa za kuvutia, huku wachezaji wakianza kujiandaa kwa sura…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks