Kocha wa zamani wa Yanga George Lwandamina ameteuliwa kuwa mshauri wa masuala ya ufundi wa timu ya taifa ya nchi hiyo uteuzi ambao umeanza rasmi baada ya kutangazwa. Kocha huyo …
zambia
-
-
Ni kama hana bahati kwani licha ya kushindwa kucheza mara kadhaa kutokana na kuandamwa na  majeraha straika Mzambia wa Yanga Mybin Kalengo amevunjika mguu na kulazimika kupelekwa hospitali haraka. Nyota …
-
Unaweza kusema mji wa Ndola uliopo nchini Zambia umetikisika baada ya Yanga kutua kibabe mjini humo baada ya kubadili ratiba ghafra baada ya kufika mji wa lusaka nchini humo. Awali …
-
Kikosi cha Yanga sc jana kimepanda ndege kwenda nchini Zambia kucheza mchezo wa marudiano kuwania kufuzu hatua ya makundi ya klabu bingwa barani Afrika dhidi ya Zesco United ya Zambia …
-
Makinda wa Yanga Paulo Godfreyc”boxer” na Balama Mapinduzi wapo kwenye hatihati ya kuukosa mchezo wa marudiano dhidi ya Zesco united ya Zambia baada ya kukumbwa na majeraha. Boxer aliumia katika …
-
Timu ya Yanga sc itaendelea kukosa huduma ya mshambuliaji wake David Molinga katika michuano ya kimataifa baada ya leseni yake kutowasili kutoka shirikisho la soka barani Afrikac(Caf). Molinga na Mustapha …
-
Timu ya Yanga sc imeweka kambi jijini Mwanza kujiandaa na mechi ya kimataifa kufuzu hatua ya makundi ya michuano ya klabu bingwa barani Afrika ambapo timu hiyo itacheza mchezo wa …
-
Mshambuliaji mpya wa Yanga sc Mybin Kalengo amepewa jezi namba 19 iliyokuwa ikivaliwa na mshambuliaji Heritier Makambo aliyejiunga na Horoya Fc ya nchini Guinnea. Kalengo 19 aliyesajiliwa na Yanga akitokea …
-
Inaelezwa kuwa kocha wa zamani wa Yanga sc Mzambia George Lwandamina ndio kikwazo cha mchezaji Geoffrey Mwashiuya kutosaini timu yeyote hapa nchini akilisikilizia simu ya kocha huyo ambaye anataka akajiunge …
-
Kiungo wa Yanga Mrisho Khalfani Ngassa amesema hana hofu juu ya kusaini mkataba mpya na timu baada ya ule wa awali kufika tamati msimu huu,Kiungo huyo mjanja mjanja amedai hahofii …