Home Makala Mtibwa Sugar Hoi Kwa Kmc

Mtibwa Sugar Hoi Kwa Kmc

by Sports Leo
0 comments

Timu iliyonyakua ushindi wa kombe la mapinduzi Mtibwa Sugar wamefungwa na KMC mabao 2-0 katika mchezo wa ligi kuu bara uliochezwa uwanja wa Uhuru leo Januari 17 ,2020.

Sadala Kipangwile ndiye aliyekuwa nyota wa mchezo  KMC kwa kufunga mabao hayo kwa dakika tofauti bao la kwanza akifunga dakika ya 18 na dakika 43 akafunga bao la pili na kuifanya timu yake kuibuka washindi.

Kocha mkuu wa Mtibwa Sugar Zuber Katwila amesema kuwa leo haikuwa bahati yao ya kupata ushindi mbele ya KMC.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited