Home Soka Mbuna Meneja Mpya Yanga

Mbuna Meneja Mpya Yanga

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Yanga imemteua nahodha wake wa zamani Fred Mbuna kuwa mtunza vifaa wa timu hiyo akichukua nafasi ya Mohamed Mposo.

Taarifa kutoka ndani ya klabu hiyo zinadai kuwa beki huyo tayari ameshataarifiwa kuhusu uteuzi huo na kilichobaki ni taratibu za kumtangaza na kuanza kazi.

Mbuna aliyekua beki tegemeo wa pembeni na nahodha wa klabu hiyo tayari ameshapewa taarifa na amethibitisha kuhusu uteuzi huo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited