Home Soka Gsm Warudi Yanga Mazima

Gsm Warudi Yanga Mazima

by Sports Leo
0 comments

Mashabiki wa Yanga hawana budi kutembea kifua mbele baada ya mdhamini wa klabu hiyo kampuni ya Gsm kurejea mazima kuisaidia klabu hiyo.

Inaelezwa kampuni hiyo tayari imeshaaanza kushughulikia mambo kadhaa tangu kurejea kwake kama ujenzi wa uwanja wa mazoezi kigamboni ambao utaanza kutumika msimu ujao huku pia ikiendelea na mchakato wa kusaidia mabadiliko ili kuenda kwenye mfumo wa hisa.

Pia kampuni hiyo inaendelea na mchakato wa usajili ambapo inatarajiwa kushusha majembe ya maana kutoka nje ya nchi ili kuboresha kikosi hicho.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited