Home Makala Soon Winga Wa As Vita,Yanga

Soon Winga Wa As Vita,Yanga

by Sports Leo
0 comments

Tuisila Kisinda wa klau ya As Vita amesema kuwa Yanga ndiyo timu ambayo ipo akilini mwake baada ya kufanikiwa kufanya mazungumzo ya awali na kiongozi mmoja wa Yanga, japo hakukukamilisha mipango yote ya usajili, ila maongezi hayo yanamfanya azidi kuifikiria Yanga kwa kuwa wana mpango nae wa kumsajili.

 

Yanga SC ipo kuhakikisha inakijenga kikosi chao kuwa imara na imeahidi kuleta majembe kutoka timu zinazofanya vizuri katika michuano ya kimataifa kama AS Vita na timu nyingine.

 

“Kama kila kitu kitaenda sawa huko mbeleni nadhani nitatua kwenda kucheza Yanga, kiufupi napapenda sana Tanzania kwa kuwa watu wake wanapenda amani na watulivu sana pia navutiwa zaidi kucheza kwao kama nitafanikiwa,” alisema Tuisila

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited