Home Makala Zana Coulibary Ataka Kurudi Bongo

Zana Coulibary Ataka Kurudi Bongo

by Sports Leo
0 comments

 Nyota wa zamani wa Simba,Zana Coulibary amevunja mkataba na mabosi wake wa AS Vita ya Congo.

Zana alikipiga ndani ya Simba  iliyotinga hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa Afrika msimu wa 2018/19 na aliibukia AS Vita ambako waliona uwezo wake alipomenayana nao kwenye mechi hizo za kimataifa.

Habari zinaeleza kuwa hesabu za nyota huyo ni kurejea bongo tena kukipiga upya na timu anazozitaka msimu huu ni Azam Fc na Yanga ili azidi kujipima zaidi uwezo wake.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited