Home Soka Kipa Kmc Kikaangoni

Kipa Kmc Kikaangoni

by Sports Leo
0 comments

Uongozi wa klabu ya KMC ya Dar kupitia kwa Mwenyekiti wa Klabu hiyo Kheri Nassoro umesema utamchukulia hatua za kinidhamu Golikipa wa Klabu hiyo Jonathan Nahimana Raia wa Burundi kutokana na kauli yake ya hivi karibuni ya kusema anatamani kucheza Simba.

Kipa huyo alisema maneno hayo wakati bado akiwa na mkataba na klabu ya KMC hali iliyomfanya Nassoro kushangazwa sana na kauli hiyo kutoka kwa golikipa wa kimataifa kutoka nchini Burundi.

Licha ya kipa huyo kutamka kutaka kujiunga na Simba sc pia imebainika baadhi ya timu barani Afrika zinamnyemelea ikiwemo Horoya na baadhi ya klabu nchini Burundi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited