KMC Fc imekamilisha usajili wa golikipa, Masoud Abdallah (Dondola) kwa mkataba wa mwaka mmoja akitokea Coastal union.
Nyota huyo alikuwa kwenye ubora msimu wa 2019/2020 ambapo alijikusanyia Clean Sheet 17 akiwa ndani ya Coastal Union.
Abdallah anakuwa ni kipa wa pili kusaini dili jipya ndani ya KMC ambapo anaungana na Raheem Sheikh ambaye ni kipa aliyekuwa anakipiga ndani ya Mbao FC.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.