Home Makala Senzo Atiwa Mbaroni

Senzo Atiwa Mbaroni

by Sports Leo
0 comments

Taarifa za kuaminika zinadai mshauri mkuu wa klabu ya Yanga sc Senzo Mbatha Mazingisa amewekwa mbaroni katika kituo cha polisi Oysterbay akidaiwa kuihujumu klabu ya Simba sc.

Awali ilidaiwa kwamba mawasiliano baina ya Senzo naaliyekua Mkurugenzi wa wanachama wa klabu ya Simba sc Hashim Mbaga yalinaswa hali iliyopelekea Mbaga kushikiliwa katika kituo cha Oysterbay kwa mahojiano zaidi.

Mpaka sasa bado haijapatikana taarifa rasmi kuhusu kiongozi huyo wa Yanga sc kama bado ameachiwa amaa la.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited