Home Soka Thadeo Lwanga ni Mnyama

Thadeo Lwanga ni Mnyama

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Simba sc imemsajili kiungo Thadeo Lwanga kwa mkataba wa miaka miwili akiwa kama mchezaji huru ambapo atachukua nafasi ya Gerson Fraga aliyetemwa baada ya kuwa majeruhi.

Mchezaji huyo  amewahi kuzichezea timu za Express FC, SCV Kampala, Vipers FC na Tanta FC hivyo uzoefu wake na uwezo wake ndani ya uwanja ni sababu ya kupewa dili ndani ya Simba.

Mwina Kaduguda mmoja wa viongozi wa juu wa klabu hiyo ndiye aliyemtambulisha kiungo huyo mkabaji mbele ya waandishi wa habari.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited