Home Soka Zuchu Kutumbuiza Simba Super Cup

Zuchu Kutumbuiza Simba Super Cup

by Sports Leo
0 comments

Mrembo Zuhuru Kopa maarufu kama Zuchu anatarajiwa kutumbuiza katika kilele cha Simba super Cup siku ya jumapili ambako kutakua na mchezo kati ya Simba sc na Tp Mazembe utakaofanyika katika uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es salaam.

Msanii huyo ametangazwa leo na klabu hiyo kama mtoa burudani mkuu katika mchezo wa mwisho katika michuano hiyo ilishirikisha timu tatu pekee ambapo bingwa atajishindia zawadi ya Tsh 15 milioni.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited