Home Soka Wamechapwa Tena

Wamechapwa Tena

by Sports Leo
0 comments

Kocha Jurgen Klopp ana maswali magumu ya kujibu hivi sasa baada ya kuwa na vipigo mfululizo katika klabu yake ya Liverpool kufuatia kukubali kichapo cha mabao 4-1 kutoka kwa Manchester City.

Mabao ya Gundogan dakika ya 49 lililosawazishwa na Mo Salah dakika ya 63 huku akiongeza bao la pili kwa City dakika ya 73 na Rahim Sterling akifunga dakika ya 76 na bao la nne la City lilifungwa na Phil Phoden Dakika ya 83 na kupeleka kilio kwa mashabiki wa Liverpool katika uwanja wa nyumbani.

Kutokana na ushindi huo Man City wanashinda game yao ya Premier League kunako dimba la Anfield kwa mara ya kwanza tangu 2003.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited