Home Makala Yanga sc Vs Kmc Machi 19

Yanga sc Vs Kmc Machi 19

by Sports Leo
0 comments

Bodi ya ligi kuu Tanzania bara imetangaza kusogeza mbele kwa baadhi ya michezo ya ligi kuu nchini kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo uwanja wa Mkapa kuwa na matumizi mengine ya kiserikali.

Katika Taarifa yake kwa vyombo vya habari nchini bodi hiyo imesogeza mbele mchezo kati ya klabu ya Yanga sc dhidi ya Kmc kutoka machi 16 hadi machi 19 kutokana na sababu ya uwanja wa Benjamini Mkapa kuwa na matumizi mengine hivyo mchezo kusogezwa kwa siku tatu mbele.

banner

Yanga sc itavaana na Kmc ikiwa na kumbukumbu ya kushinda kwa jumla ya mabao 2-0 katika mchezo wa awali uliofanyika katika uwanja wa majimaji mkoani Songea kwa mabao ya Fiston Mayele na Feisal Salum.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited