Home Makala Diamond,Zuchu,Nandy Wang’ara Afrimma

Diamond,Zuchu,Nandy Wang’ara Afrimma

by Sports Leo
0 comments

Wasanii Diamond Platnums,Nandy pamoja na Zuchu wamefanikiwa kuibuka na tuzo katika tuzo za Afrimma Music Award wakiwashinda wasanii mbalimbali Afrika Mashariki.

Diamond Platnums ametwaa tuzo ya msanii bora wa kiume Afrika Mashariki huku Nandy ametwaa tuzo ya msanii bora wa kike Afrika Mashariki na Zuchu ametwaa ya msanii bora Chipukizi Afrika Mashariki.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited